Tanzia:Mhadhiri wa UoN Ken Ouko afariki dunia kwa ajili ya Covid 19

Ken OuKO
Ken OuKO
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Nairobi anayefahamika na wengi na  mwanasosholojia Ken Ouko ameaga  dunia .

Mkurugenzi wa mawasiliano wa chuo hicho  John Orindi  amethibitisha kwamba Ouko amefariki jumaosi asubuhi  baada la kulazwa hospitalini .Ouko ameaga duni kwa ajili ya virusi vya corona .

Aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa Nasa Norman Magaya  ni miongoni mwa waliotumia twitter  kuomboleza kifo cha Ouko

https://twitter.com/amugira/status/1289449533177569280

Aliyekuwa mgombeaji wa kiti cha ubunge cha Kibra  Eliud Owalo pia alimuomboleza Ken kupitia twitter akisema ;

https://twitter.com/EliudOwalo/status/1289459625566171136