Size 8 na mume wake DJ Mo wamepitia changamoto za ndoa kama tu watu wengine . wengi wanaweza kufikiri kwamba ndoa yao haina sarakasi lakini masimulizi wa Size 8 kuhusu tukio ambapo alimfurusha mume wake DJ Mo linafaa kukupa taswira .
Akizungumza katika kipindi chao cha ‘Dine with the Muraya’s’, Size 8 kuna wakati alipomtupia kila kitu DJ Mo na ilibidi wahubiri waingilie kati ili afunue mlango .
Ndoa ni muungano ambao unahitaji nguvu za mola kila wakati .kwa miaka saba ambayo tumekuwa pamoja ningezua drama nikimpata akifanya vitu vingine na hata katika simu yake nikipata vitu ambavyo hta havina maana bado ntazua mtafaruku.
ushauri wa Dj Mo KWA WANADNOA NI HUU
‘ FUNGA NDOA NA MTU AMBAYE NI RAFIKI YAKO NA UWE TAYARI KWA LOLOTE . HAKUNA ALIYE SAWA KWA ASILIMIA 100 MATATIZO AMBAYO WATU HUPITIA NDIO TUNAYOPITA