Toboa Siri: Nimezalisha bibi ya bro yangu na hajui juu yuko Somalia

toboa siri
toboa siri
Jamaa aliamua kutoboa siri kali akidai kuwa alimzalisha bibi ya ndugu yake baada ya wawili hao kuanzisha uhusiano pindi tu nduguye aliondoka na kwenda shughuli ya kulinda amani, Somalia.

Alisimulia kuwa nduguye mkuu alimuarifu amuangalilie mkewe lakini alianzisha uhusiano ambao ulizalisha mtoto. Cha kushtua ni kuwa hamna anayejua kinacho endelea hata baada ya jamaa kuondoka kwa miaka mitatu.

Alisimulia, Niko na siri kubwa, mimi nina bibi na nina penda bibi ya ndugu yangu kuliko wangu, ndugu yangu mkuu ni jeshi wa KDF na yuko Somalia na aliniambia niwe nikimuangalilia.

Unajua yeye alichagua ile material minji minji wife material lakini huyu wangu ako chini kidogo. Tumeendelea na hata tumezaa pamoja mtoto mmoja wa mwaka mmoja na tunafanana kabisa.

Akaongeza, ndugu yangu alizaa naye watoto wawili na akaenda nami nikaongeza wa tatu. Ndugu yangu anajua ana watoto wawili na hata sijui akirudi itakuwa aje kwani amekuwa huko kwa miaka mitatu na nashuku alioa mke mwingine.

Yeye huniambia nimuangalilie mke na sasa naona nilimuangalilia vizuri.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be