Tumia bidhaa za nyumbani kupata mkopo

Sasa hauna sababu kama kijana kukosa pesa za kuanza kufanyia biashara.

Unaweza kutumia vifaa vya nyumbani, mifugo na hata mimea kama kinga ya kupewa mkopo na benki.

Rais Uhuru Kenyatta ametia saini mswada unaowaruhusu watu kutumia vitu kama runinga, fanicha au hata gari kupewa mikopo.