Muhtasari
• Akizungumza katika ziara yake nchini Marekani Kinara wa muungano wa Azimio – One Kenya, Raila Odinga alisema juhudi zake zitaangazia pia kupunguza deni la kitaifa.
• Raila alisema serikali ya Azimio imeratibu vita dhidi ya ufisadi, uboreshwaji miundo msingi, sekta za afya na elimu kama baadhi ya agenda zake kuu punde tu itakapochaguliwa mamlakani .