Muhtasari
•Mshukiwa alikamatwa Jumanne jioni baada ya kupatikana katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi ya Shauri Yako akiwa amejihami kwa panga na kisu.
•Maafisa wa polisi walimpata mshukiwa walipokuwa wanakagua kituo hicho baada ya shughuli za upigaji kura kukamilika.