(+Picha) Kizaazaa huku ajenti mkuu wa Raila akidai 'Bomas ni eneo la uhalifu'

Mawakala wa Azimio walidai kuwa kuna kasoro katika zoezi la uhakiki.

Muhtasari

•Mawakala wanaoshirikiana na muungano wa Azimio walikuwa wakidai kuwa kuna kasoro katika zoezi la uhakiki.

Maafisa zaidi wa polisi waliongezwa kwenye jumba hilo baada ya kamishna wa IEBC Abdi Guliye kuamuru watu wasio wa muhimu kutoka katika kituo cha kitaifa cha kuhesabia kura, Bomas of Kenya mnamo Agosti 13/
Maafisa zaidi wa polisi waliongezwa kwenye jumba hilo baada ya kamishna wa IEBC Abdi Guliye kuamuru watu wasio wa muhimu kutoka katika kituo cha kitaifa cha kuhesabia kura, Bomas of Kenya mnamo Agosti 13/
Image: ENOS TECHE

Hali ya mtafaruku imezuka tena katika ukumbi wa Bomas of Kenya na kusimamisha zoezi linaloendelea la uhakiki wa kura za urais.

Mawakala wanaoshirikiana na muungano wa Azimio walikuwa wakidai kuwa kuna kasoro katika zoezi la uhakiki.

Baadhi yao walidai kuwa baadhi ya maafisa wa IEBC walikuwa wakishirikiana na wapinzani wao kubadilisha matokeo na kunyakua fomu 34 A.

Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE

Mara moja, ajenti mkuu wa Raila Saitabao Ole Kanchory alitembea hadi jukwaa la VIP ambapo mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati na timu yake huketi, akanyakua kipaza sauti na kusema:

"Nataka kuwaambia Wakenya kwamba Bomas ni eneo la uhalifu."

Hadi wakati wa ripoti hii, zoezi la uhakiki wa kura lilikuwa limesimama.

Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE
Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Kizaazaa chashuhudiwa Bomas of Kenya mnamo Agosti 13, 2022
Image: ENOS TECHE