Uhuru ahamia Jumba la Harambee kutoka Ikulu kwa ajili ya COVID 19

Statehouse
Statehouse
  Rais Uhuru Kenyatta  amehamia jumba la Harambee baada ya ikulu kufungwa wafanyikazi wanne walipopatikana na virusi vya corona .

Rais Kenyata  amesema hajapatikana na virusi hivyo na amekuwa akifanya kaz katika jumba la Harambee  iliyotajwa kuwa salama .wafanyikazi wake pia wamehamia jengo hilo naye .

Rais Kenyatta amekuwa akifanyia kazi Ikulu ya Nairobi hadi  visa vya corona vilivporipotiwa Juni tarehe 15 katika makao hayo yake .mikutano yake yote sasa  imekuwa ikifanyika Harambee .

Kabla ya visa hivyo vya corona kuripotiwa Ikulu rais alikuwa akiandaa mikutano  yake  yote  ikiwemo na wabunge  na baadhi ya wanasiasa katika Ikulu .