‘Ulevi, Mke kunitoroka na marafiki kunisaliti’-Mwanariadha Asbel Kiprop azungumza

grace
grace
Bingwa mara tatu wa  mbio za mita 1500 duniani Asbel Kiprop  kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu kufeli kwa ndoa yake ,mawazo kupindukia ,ulevi na kuachwa na marafiki zake .

Asbel,  ambaye kwa sasa anahudumia marufuku ya miaka mine kwa kosa la kutumia dawa zilizoharamishwa katika riadha  amesema  tuhuma hizo zilimfanya kugeukia pombe   na mke wake pia alimuacha . Kiprop alikuwa akizungumza katika mahojiano na Grace Msalame

MY ATHLETICS CAREER AND REPUTATION WAS AT STAKE AND I WAS CONSIDERING VENTURING INTO COACHING. I WASN’T MYSELF AND I ENDED UP DOING CRAZY AND ABNORMAL THINGS. MY WIFE DIDN’T KNOW WHERE I HAD BEEN AFTER I HAD BEEN ACCUSED OF DOPING. I AVOIDED GOING TO THE HOUSE BECAUSE I WAS TRYING TO FIGURE OUT THE TRUTH BUT IN VAIN,’ alimuambia  Msalame.

Aliongeza ;

WHEN THIS HAPPENED I DEVELOPED STRESS AND BECAME A DRUNKARD. MY OWN WIFE DIDN’T UNDERSTAND WHAT WAS HAPPENING. IT AFFECTED MY MARRIAGE AND MY WIFE LEFT.

Bingwa huyo wa  mbio za olimpiki za  Beijing  Mwaka wa 2008 pia alisumulia jinsi marafiki na wanariadha wenzake walivyomtenga baada ya sakata hiyo

ALL THE PEOPLE I HAD HOUSED LEFT ME AND MY RIVALS OPENLY RIDICULED ME SAYING THEY JUST REALISED I HAD BEEN BEATING THEM IN RACES THROUGH DOPING. THERE WAS LACK OF TRUST AND IT CAN GET WORSE WHEN IT COMES FROM PEOPLE WHO ARE CLOSE,’  alisema .

Aliongeza;

WHEN THINGS ARE GOING WELL, FRIENDS ARE MANY BUT WHEN YOU GO THROUGH TURBULENCE, YOU WILL BE ABLE TO IDENTIFY MOCKERS AND THOSE WHO ARE NOT FOR YOU.

Asbel  alifichua kwamba wazazi wake na mkuu wake inspekta mkuu wa Polisi Hillary Mutyambai walisimama naye wakati wa akipitia masaibu hayo .

MY PARENTS AND IG SAVED ME FROM TOTAL COLLAPSE AND I AM GRATEFUL TO THEM. I AM ALSO LUCKY TO HAVE GOT ANOTHER WIFE WHO IS KIND AND UNDERSTANDING.

Akimtumia  rais wa zamani wa Afrika kusini Nelson Mandela aliyekuwa jela  kwa miaka 27  Asbel alisema ;

WHENEVER YOU ARE HIT BY SUCH STORMS, THERE IS NEED TO PERSEVERE AND TO STAND ON YOUR FEET FOR THE TRUTH, NO MATTER WHAT.

Mwanariadha huyo atarejea mashindanoni fenruari mwaka wa 2022  baada ya kuhudumia marufuku aliopewa . Akizungumza kuhusu tuhuma za kutumia dawa haramu ,Asbel alisema alisingiziwa

FRAMING PEOPLE BRINGS DOWN CAREERS, REPUTATIONS, THE NAME OF A COUNTRY AND THE SPORT AS A WHOLE,’

Aliongeza

TO BE HONEST, THE PEOPLE WHO DOPE NEED TO BE SHAMED AND EMBARRASSED BUT IT WAS A DOUBLE CHALLENGE FOR ME SINCE I WAS INNOCENT. DOPING IS SOMETHING I WOULD NOT DO. I EVEN ADVOCATED FOR JAIL TERMS FOR PEOPLE WHO GO INTO DOPING.

Anataraji kwamba ataweza kujikwamua kutoka lindi hilo na kuibuka na uthabiti hata zaidi

AS PART OF MY LEGACY, I WOULD LOVE TO PROVE TO THE WORLD THAT I DIDN’T DO THIS NO MATTER HOW LONG IT TAKES BECAUSE TRUTH AND TRANSPARENCY ARE BIGGER THAN THE SHAME OF CONSPIRACY,’ alieleza

Anasema kuna funzo muhimu ambalo amelipata kutokana na masaibu yake akisema ;

I LEARNT THAT WHENEVER YOU ARE HIT BY A STORM, YOU NEED TO STAY FIRM AND STAND YOUR GROUND ESPECIALLY WHEN YOU KNOW YOU ARE RIGHT. I HAVE COME TO LEARN THAT LIFE IS A CURVE AND NOT A STRAIGHT LINE