Unashauriwa kula vyakula bora ili kujizuiya na maradhi ya kuambukizana

VEGETABLES-QUICKMART-SUPERM
VEGETABLES-QUICKMART-SUPERM
Unataka kujiepusha na maradhi ya kuambkukizana kama Corona?,Naam unashauriwa kula vyakula bora kama njia ya kuongeza uwezo wako wa kuwa na madini ya kutosha mwilki ya kuzuiya kuambukizwa maradhi ambayo yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine.

Kando na wosia wa kuvalia barakoa na kuosha mikono kila mara,maafisa wa afya sasa wanawataka wananchi kuangazia mlo bora haswa kwa watu ambao wana maradhi  mengine kama Kisukari,Ukimwi .

“People living with non-communicable diseases should eat healthily by consuming a healthy diet based on locally available foods. A balanced diet is critical for preventing and managing non-communicable diseases and their complications during this pandemic period and beyond,” Dr Aman.

Aman amewataka wananchi kula zaidi matunda na kupunguza idadi ya vyakula ambavyo vina sukari nyingi na kuendelea kufanya mazoezi.

“Consume plenty of vegetables from all the subgroups including spinach, kales, and cabbages. Eat a variety of fruits that are in season and readily available in the market, oranges, bananas watermelon and others. Also, eat plenty of protein food too such us beans,”

Amesema ili kufahamisha wananchi umuhimu wa kuendelea kuzingatia lishe bora kama njia ya kupunguza idadi ya magonjwa yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine.