1.Omena
Wengi wanapenda sana omena au dagaa ,samakai hawa wadogo ambao pia wamepewa majina mbali mbali majumbani .Nakumbuka kwetu omena hutiwa ‘misumari’. Lakini harufu ya samaki hawa haivutii sana iwapo unajitayarisha kwa sakato la utu uzima . Inaarifiwa harufu hiyo inaweza pia kujitokeza katika ‘tunda’ la mwanamke na hivyo basi kuvuruga mazingira ya starehe zeno .Ni bayana pia kwamba harufu ya omena inaweza kusalia kinywani mwako na wakati unampobusu mwenzio ,usimwache katika hali nzuri.
- Kachumbari
Asiyependa kachumbari ni nani jamani? Lakini kiungo hiki muhimu katika vyakula vya kawaida kiepuke sana iwapo una mpang wa usiku mzima wa mahaba . Kachumbari ni tamu kweli lakini harufu ya mabaki yake katika kinywa chako sio nzuri endapo unamtaraji mwenzake kujipepesua wazi akikupa mabusu moto moto katika usiku wenu wa raha . Iwapo basi utajipata ushaitumia kachumbari ,hakikisha umetafuta ‘kifutio’ cha kumaliza harufufu ya mchannganyiko wa vitunguu na dhania na yote yaliyowekwa katika kachumabari yako .
Kitunguu saumu
Kumekuwa na dhana ambayo huenda ni potovu kwamba kuweka kitunguu saumu katika uke wako ni tiba ya maambukizi ya ‘yeast’.usisikize hilo kwa sababu halina ithibati ya kiutafiti au matibabu .Kwanza ,kuweka chochote kisicho cha kawaida katika sehemu yako ya siri ni jambo hatari kwa afya yako . Kitungu saumu kina mvuto wa kipekee katika chakula na ni kiungo muhimu sana kutayarisha mapochpocho pale nyumbani .Lakini ,kama tu uzuri wake ,unafaa kufahamu kwamba kila unachokula kina matokeo yake kwingineko .Harufu ya kitunguu saumu inaweza kujipenyeza na ikaathiri mazingira na harufu yam le ndani . Kwa hivyo iwapo una misheni ya kujifurahisha bila kizuizi kwa usiku wa mahaba ,kitunguu saumu kiepuke kama ukoma .Pia unapokila ,kitaacha harufu katika kinywa chako na hutataka kumkaribia mwenzio .
4. Nyama /Red meat
Kula nyama ya Ng’ombe/mbuzi au inayojulikana kama red meat kunafanya jasho lako kunuka zaidi . Hatua hiyo sasa ndio huenda ikavuruga mambo yako iwapo umepanga kupiga msakato wa usiku . ‘Glands’ za kutoa jsho katika sehemu mbali za mwili wako zitajiachilia kwa urahisi na kukufanya utokwe jasho wakati umekula nyama .Baadhi ya sehemu za mwili wako zitakazotokwa jasho pia ni sehemu zako za siri ! Kula nyama pia kunajulikana kuathiriwa viwango vya PH katika ‘tunda’ la mwanamke.sehemu hiyo mara nyingi inafaa kuwa na aside kidogo lakini kuna ushahidi kwamba baadhi ya vyakula kama vile nyama ,samaki vinaweza kueta viwango vya juu vya ‘alkalinity’ na hivyo basi kuvuruga harufu ya ‘tunda’ lako .