Katika picha hio ambayo Mutua aliiweka twitter ,watu katika mitandao wameshangaa jinsi wawili hao walivyovalia maski wakikula ilhali watu wengine waliowazigira hawajavalia maski .
Daalili zote zaonyesha kwamba waliipiga picha hiyo katikati ya mlo wao na huenda picha yenywewe ili tu picha-ya kuonyesha walichokuwa wakifanya .
" Nimekuwa nikizungumza na vijana kutumia lugha yao ya mtaani ‘sheng’ na nina video ya kuwahimiza waupuke ukabila na wasije wakawa watazamaji tu katika ulingo wa kisiasa’ Mutua aliandika katika twitter
Haya hapa baadhi ya maoni ya wakenya
https://twitter.com/Trackmann/status/1308798054456324096
https://twitter.com/andama_shadrack/status/1308823166077239297
Siku ya jumatano Mutua alimshtumu kiongozi wa ANC musalia Mudavadi kwa kuiga mbinu zake za kisiasa . Amesema Mudavadi anazitumia mbinu ake za kampeini inayowalenga vijana kabla ya uchaguzi wa 2022 .
Mutua amesema kwamba katika mwaka mmoja ulioppita amegundua kwamba kila anapoanzisha njia moja ya kufanya jambo kuhusu shughuli zake za kisiasa ,Mudavadi anaiga na kuitumia pia .