Nilikuwa nafanya ngono na baba yangu akiwa mlevi-Mwanamke atoboa siri

Muhtasari
  • Mwanamke asimulia jinsi alipata ujauzito wa baba yake, baada ya yake kutengana na mama yake
Teke Teke:Mbusi na Lion
Image: Studio

Meni tumeyaona kwenye filamu lakini hatukufikira kwamba yanaweza kutendeka katika maisha ya wanadamu wenzetu.

Katika kipindi cha Mbusi na Lion teketeke, kitengo cha toboa siri mwanamke mmoja aliwaacha mashabiki wa radiojambo midomo wazi baada ya kufichua lichokuwa anafanya na baba yake baada ya yake kutengana na mama yake.

"Mwaka wa 2003 baba yangu aliachana na mama yangu lakini nikaamua kukaa na baba yangu, baba yangu alikuwa dereva na alikuwa anapenda kulewa sana

 

Kuna wakati alikuja nyumbani akiwa amelewa, nilimshika mkono lakini nikapatwa na hisia zake,kwa maana hakuwa anakuja nyumbani kila siku baada ya siku tatu akirudi alikuwa anakuja akiwa amelewa

Nikipata amelewa nilikuwa nafanya ngono na yeye, kwa maana hakuwa anajifahamu, wakati huo nilikuwa na miaka 15

Kuna mahali nilifika nikahisi ni kama pia naye alikuwa anafurahia kufanya ngono na mimi, nilifanya hayo kwa miezi mitatu

Nilijipata nimebeba mimba, wakati huo alikuwa ameoa mwanamke mwingine,mama wa kamo alisisitiza nimwambia ujauzito ni wa nani lakini sikumwambia

nataka kutoboa siri nimwambie kuwa mtoto nilie naye sasa ni wa baba yangu," Mwanamke huyo alisema.