logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mimi ni mbweha mtu-Mwanamume atoboa siri

Kulingana na mwanamume huyo amekuwa akiwatishia wakazi wa kijiji chake nyakati za usiku,

image

Vipindi22 March 2022 - 11:00

Muhtasari


  • Kulingana na mwanamume huyo amekuwa akiwatishia wakazi wa kijiji chake nyakati za usiku, kwa kubweka kama mbweha

Kuku wakiwa wengi wanamwwaya mtama kwenye kitengo cha toboa siri, katika kipindi cha Experience ya Mbusi na Lion teketeke.

Siku ya JUmatatu mwanamume mmoja aliwaacha mashabiki wa radiojambo wameduwaa baada ya kufichua kwamba yeye ni mbweha.

Kulingana na mwanamume huyo amekuwa akiwatishia wakazi wa kijiji chake nyakati za usiku, kwa kubweka kama mbweha.

Hii hapa siri yake;

"Nataka kuwatobolea wakazi wa kijiji changu kwamba mbweha ambaye wamekuwa wakimsikia kwa muda sasa kuwa ni mimi na wala sio mbweha wa ukweli,nilitoroka katika kijiji hicho baada ya kugundua kwamba wana kijiji watakuja kunitambua nimekuwa nikifanya hayo kwa muda sasa na kuwaogopesha wanakijiji,"Mwanamume huyo aliyoboa siri.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved