Wakenya wagadhabishwa na hotuba ya Edwin Sifuna kwa ajili ya ripoti ya runinga ya NTV kuhusu DJ Evolve na Babu Owino

Baadhi ya wakenya katika mitandao ya kijamii ya twitter wamegadhabishwa na maoni au hotuba ya katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna kuhusu habari za runinga ya NTV inayomhusu mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino na DJ Evolve.

Mbunge huyo alimpiga risasi Evolve kwenye shingo mapema mwaka huu.

Kupitia kwenye mitandao hiyo, Sifuna alisema licha ya  wanahabari, Mkurugenzi wa mashtaka ya umma (DPP) na mkurugenzi wa uchunguzi wa jinai (DCI) kuzuiliwa kuzungumzia kesi hiyo walienda kinyume na maagizo ya jaji aliyepeana maagizo hayo.

Alizidi na mazungumzo yake ya kusema kwa ajili ya habari au ripoti yao, jaji huyo anaweza kujiondoa kwa kesi hiyo na kusababisha kukawia kwa uamuzi wa kesi hiyo.

“You shouldn't have to be told not to discuss merits of a case . I watched this piece jana and you basically accused the judge of impropriety for this order "granted in darkness". You geniuses will cause the judge to recuse himself causing further delay to the case." Aliandika Sifuna.

Ni matamshi ambayo hayakumuendea vyema huku baadhi ya wanamitandao wakimwambia kuwa amemuunga Babu Owino mkono kwa sababu ni mwanachama wa chama cha ODM.

Pia wengi walitaka kujua kwa nini anamtetea Babu na ni nini haswa muhimu kuhusu kesi hii.

Hizi hapa baadhi za hisia za wanamtandao;

Matt MW Senior :Pple of Kanduyi want you, to return them that ONE vote, that gave you in 2013.Shame on you.

KHAEMBA WANDABUSI :We all know your party thrives in violence & goonism,it isn't something new. We will NEVER ever have a country led by murderers .
Hon. Chubby Chokora - Joan Kubai 's exe:Why is Edwin siding with Babu on this? Babu is wholly dispensable politically. You can pick ANYONE backed by Raila and they can replace Babu in 5 minutes! If Edwin can't think like a human, at least be a smart political strategist.
BABAKE...DC1X:To most people, babu should have been arrested and hanged without going to court. The same people will tell you if their corrupt masters are arrested, they should go through the due process.
PAUL MUNGAI:The media covered Cohen, Sharon et al murder cases freely. What's so special about this ?
Haluazavala:
 Sarah Wairimu murdered Cohen with the help of a lawyer and judge, Maasai Mara VC stole openly and was even caught on video,Obado murdered a woman and ripped a baby from the womb all covered by the media. Why does this baboon's case have to be any different?