Wakenya wamhurumia Jowie huku akipaniwa kusalia jela Krisimasi nyingine

jowie.000
jowie.000
Wakenya kutoka tababaka mbali mbali wamezidi kutoa maoni yao huku baada ya kubainika kuwa Joseph Irungu almaarufu Jowie huenda akasalia jela kwa krisimasi ya pili mtawalia.

Jowie ni mshukiwa mkuu katika kesi ya mauaji ya Monica Kimani.

Mahakama ilisukuma ombi lake la maombi ya dhamana hadi Februari 13, 2020, uamuzi ambao ulizua maoni chungu nzima kutoka kwa wakenya, huku wengi wakiomba na wakitumai kuwa atawachiliwa huru hivi karibuni.

ifuatazo ni baadhi ya maoni kutoka mitandao ya kijamii,

Dennis Itumbi I wish Jowie gets a favourable decision. May justice be served to all.

Chelimor Joycey Justice delayed is justice denied, this is Kenya

Eric Kakanyipola And this means more poems to Maribe brother Itumbi.. Congrats

Carol Njeri Si awachiliwe aenjoy Xmas arudi Jan nishikwe mahali pakee😥😥😥mnyonge hii Kenya hana haki

Beatrice Akinyi The governor of Migori is still roaming around.

Thongori I think it is unfair

Anne Wanjiru Mburu Very sad for this man, yet pleading every day. God intervene for him

Cyrus Nyarangi Yet Sarah Cohen got in and left in no time! Equality exists only in papers. If BBI won’t address such issues then vitu kwa ground will remain the same.

Sami Ozil Is Jowie not a Kenyan like Governor Obado, Jacque Maribe, Lawyer Nyakudi and the rest who are facing murder case?? Rotten judiciary… May your budget be sliced to the nearest 0…You cannot give justice by doing favour to others and denying others who are in the same pot in the name of who is who in the government…All of them should be behind bars if Judiciary is truly independent…Or maybe the deceased was an angel and Sharon and Lawyer’s son were human being??? That’s why Jowie cannot be granted bail?? Shame.

Kipsang Ronoh I wish him well and all inmates. Let justice prevail for all.

Wandabwa Mukhebi Very unfair. If he was a politician, he would be out.

Linus Kebut Justice in Kenya is for the Rich

David Kinyua Who is counting? Monica Kimani will never see another Christmas this side of the sun

Patriotic434 very unfair. Judiciary should have taken a week and decided. Obado is still walking around

Gibson Amenya Tough times for him

Imeldah Meme Kajuju Jowie ungalijua ungalicheza kiwewe

Charles Ambetsa The crime is a bailable one. Playing these games with a suspect not proven guilty is an infringement on their rights. This is wrong. (no matter what the media has made us believe)

Joy Kathure Ikiara Lucky him.The family of the beautiful lady he killed will spend x-mas wishing that their daughter would just be somewhere doing her life.