Ni siku au mwezi ambao wafanyakazi wa runinga ya K24 utakuwa katika nyayo za akili zao baaada ya kupoteza kazi katika runinga hiyo.
Miongoni mwa waliopoteza kazi ni Eric Njoka, Karen Karimi, Isabella Kituri, Nancy Onyancha, Caren Kibett, Shon Osimbo, Sara Adams, Joy Kariuki, Joab Mwaura, Tony Khwalanda na wengine wengi.
Baadhi yao walitoa hisia tofauti na hizi hapa hisia zao;
"I am switching to another station and taking sports to a whole new level. Thank you K24 for the 11 years of GREAT experience. WATCH THIS SPACE FOR MY NEXT MOVE!!! ." Aliandika Tony Kwalanda.
Naye mwanahabari Karimi karen alikuwa na haya ya kusema
"Halo Twitter FamIt’s been an absolute pleasure gracing your screens at
Thank you for all the love and support! Its time for bigger, better things ahead."
Erick Njoka alisema haya;
"I did my part, I played my role with poise and dignity, and I'm proud of it. My 7 year journey
has ended, now is ready to take over the world
Focus Onwards, look inwards. Viva"