Wololo! Tanzanian singer Ray C begs President Magufuli to punish men found in lodges with single women

tzsingerrayc
tzsingerrayc
Kweli wanawake wa Tanzania wamechoka.

Bongo singer Ray C is begging Tanzanian President Pombe Magufuli to implement a law that bans men from sleeping with single women, to make sure that those sleeping together are only married couples.

Kwani kuna nini?

According to Ray C, a marriage certificate will ensure that 'wanaume wasitusumbua na tuheshimiane'.

She wrote the letter below to the President;

Mzee mi na shida. Moja! wanaume hapa nchini wanajifanya wajuaji sana.Ombi langu la mwaka huu kwako ni hii. Naomba upitishe sheria kama ya Sultan Qabaoos wa Oman! Hakuna mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanamke an mwanume mpaka wafunge ndoa. Na yeyeyote atakaekutwa na mwanamke kwa hotelini Guest house bila cheti cha ndoa wapelekwe wote segerea.Nadhani itasaidia sana wanawake wengi kuolewa badala ya kuwa manungaembe. Utakuwa umewanyoosha kisawasawa hawa wanaume zetu tutaheshimiana.

Do you agree with her?