'Bora nisitajwe hapa,'Vyette Obura amuonya msanii Bahati
- Mama wa mtoto wake msanii Bahati, Yvette Obura kwa mara ya kwanza amemtumia msanii huyo onyo baada ya kutoa kibao chake cha 'Dear Ex'
Mama wa mtoto wake msanii Bahati, Yvette Obura kwa mara ya kwanza amemtumia msanii huyo onyo baada ya kutoa kibao chake cha 'Dear Ex'.
Ni kibao ambacho baadhi ya watu wamezungumzia kuhusu waliokuwa wapenzi wao.
Kibao hicho kimepokelewa na mashabiki vyema huku kikiwa na watazamaji karibu laki moja kwa saa tatu baada ya kutolewa.
Lakini kama sio Yvette anazungumziwa nani mwingine kwa maana tunamjua tu kama ex wa msanii huyo.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Yvette wa instagram alikuwa na haya ya kusema;
"Bora nisitajwe hapa π€π€,"
Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki baada ya Mama Mueni kuonya baba wa mtoto wake;
w.peshy: Hehe tunajua umelipwa vizuri
chege3055: Ex ni mtu ujazaa na yy β€οΈβ€οΈ
millieasiema: πππππππMbona naona ikiwa dedix
stelaouma: ππππ ahahaaaa wambie uko salama ugali na mrenda ndio zinaangamiaπ
hellenswa: ππππ wasitulete nyenye we are the Obura's familyπππππ
Hii hapa video ya kiao hicho;
The video could not be loaded.