In Summary
•Jamaa kutoka Machakos ambaye alitambulishwa kama Justin Kioko 31, alidaiwa kujifanya kuwa mwanamke na kulaghai jamaa mwingine kutoka Siaya aliyetambulishwa kama Godfrey Owino shilingi 344,000.
•Kelvin Kinuthia alitumia ukurasa wake wa TikTok kupuuzilia mbali madai hayo huku akieleza kwamba picha zake zilitumika na mwanablogu kutafuta kiki.
•Kinuthia amekanusha madai kwamba kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi na kuwaonya wanablogu dhidi ya kutumia jina ama picha zake kueneza propaganda