logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nataka mpenzi sio 'hotspot'-Ujumbe wa Jimal Roho Safi uliozua gumzo mitandaoni

Jimal amesema kwa sasa anahitaji mpenzi na sio Hotspot

image
na Radio Jambo

Habari22 June 2022 - 11:48

Muhtasari


  • Jimal amesema kwa sasa anahitaji mpenzi na sio Hotspot maana yake ni mtu anayeweza kushirikishwa na kila mtu

Mmoja wa wajasiriamali maarufu nchini Kenya na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Amberay, Jimal Rohosafi amezua tafrani mtandaoni baada ya kuandika ujumbe wa Kichefuchefu kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Kulingana na baadhi ya mashabiki ujumbe huo unaelekezwa kwa aliyekuwa mpenzi wake Amberay.

Tangu kuachana na Amberay, Jimal Rohosafi hajawahi kuendelea, huku kwa upande mwingine Amberay ameshaachumbiana na wanaume zaidi ya 4 na kwa sasa anachumbiana na Rapudo ambaye pia ni mmoja wa wajasiriamali matajiri jijini.

Jimal amesema kwa sasa anahitaji mpenzi na sio Hotspot maana yake ni mtu anayeweza kushirikishwa na kila mtu.

"Ninapogundua kwamna unaumiwa na atu wengi, huwa nakuacha na unaendelea na wao, nataka penzi na wala sio Hotspot," Jimal Aliandika.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved