logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanamume ni pesa sio mdomo-Amber Ray mfokea ex wake

Uhusiano wao haukudumu sana kwani waliachana na kila mmoja wao akendelea na maisha yake.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri08 June 2022 - 11:29

Muhtasari


  • Uhusiano wao haukudumu sana kwani waliachana na kila mmoja wao akendelea na maisha yake

Tunapozungumza kuhusu mwanasosholaiti Amber Ray sio mgeni vinywani au machoni mwa wengi, hasa kwenye mitandao ya kijamii.

Amber anafahamika kwa urembo wake na umbo lake, na pia kuishi maisha ya kifahari licha ya kejeli nyingi mitandaoni.

Mwanasosholaiti huyo alivuma sana mitandaoni mwaka jana baada ya kueoleewa na mfanyibiashara JImal Roho Safi.

Uhusiano wao haukudumu sana kwani waliachana na kila mmoja wao akendelea na maisha yake.

KUpitia kwnye ukurasa wwake wa instagram Amber amekiri na kusema kwamba mwanamume ni pesa na wala sio mdomo.

Kulingana na mashabiki na wanamitandao, Amber alikuwa amnamfokea aliyekuwa mpenzi wake Kabba ambaye walichumbiana kwa muda.

Kabba baada ya kuachhana na mwanasosholaiti huyo, alidai kwamba anaishi maisha feki mitandaoni na anapaswa kubadilisha tabia yake.

Huku Amber akijibu madai hayo alisema kuwa;

”Mwanaume ni pesa sio mdomo🤣🤣🤦‍♀️. Ndume suruali😅.”


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved