logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Aliyekuwa mpenzi wake Harmonize atarajia mtoto wa pili

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram,Mitindo alitangaza habari hizo njema kwa mashabiki.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri01 August 2022 - 16:02

Muhtasari


  • Mitindo pia alimshukuru Mungu kwa baraka nyingine, huku akimwambia mwanawe wanamsubiri, na kumpenda

Mwigizaji waTanzania na aliyekuwa mpenziwe Harmonize, Jacqueline Wolper na mpenziwe MItindo wanatarajia mtoto wao wa pili pamoja.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram,Mitindo alitangaza habari hizo njema kwa mashabiki.

Mitindo pia alimshukuru Mungu kwa baraka nyingine, huku akimwambia mwanawe wanamsubiri, na kumpenda.

"Asante Mungu kwa hiii zawadi nyingine, Wakati tulipofikiri kwamba tumebarikiwa Mtoto wa Kwanza ajabu Mungu Kaonyesha Miujiza Yake nakutupa furaha nyingine nasubiri kwa hamu ujio wako, karibu sana mwanangu, Mama ako Anakupenda sana, Pia mim na Kaka ako maombi yetu yapo juu yako 🙏 @wolperstylish @mitindojr."

Mitiindo alipakia picha nyingiine akiwa na Wolper na kussema kuwwa;

"Nianze Kwa kusema Bismillah Maana Uzito Wa Maneno Unahitaji Amani ya Allah kinywani mwangu, Nina furaha Sana Ninaposhika Tumbo lako nanivyomsikia mwanangu nikili kusema hili Tumbo lako limetunza thamani kuliko thamani zinazomilikiwa na worldBank @wolperstylish."


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved