25 September 2014 1 Min Read
Waakilishi wa kaunti wanataka wapewe ulinzi
by Michael Mutai Habari
Waakilishi wa kaunti wanataka sheria kurekebishwa ili wamepewe walinzi waliojihami. Kupitia kwa mwenyekiti wa muungano wao Abdi Nuh, viongozi hao wanadai kwamba kazi yao inawafanya kuhitaji ulinzi kutoka kwa serikali. Kwa sasa sheria haiwaruhusu waakilishi hao wa kaunti kubeba bastola au kuwa na walinzi.