21 May 2015 1 Min Read
Magavana Kumchagua Mwenyekiti Mpya Leo
by Michael Mutai Habari
Isaac Ruto. | picha: the-star.co.ke
Magavana leo watamchagua mwenyekiti mpya baada ya muda wa kuhudumu wa Isaac Ruto kufika ukingoni.
Magavana watatu Peter Munya, Salim Mvurya na Wycliffe Oparanya wanawania kiti hicho.