Uchaguzi 2022
Habari
Vipindi
Michezo
Burudani
Podcast
Video
Kauli ya Siku
Classic 105
East FM
KISS100
The Star, Kenya
Mpasho
21 February 2017
1 Min Read
Mwili wa mwanaume mwenye umri wa makamo anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na jembe
by
Maureen Waruinge
Habari
hoe
Mwanamume mwenye umri wa makamo anauguza majeraha katika hospitali ya St Marys, Mumias, baada ya kushambuliwa kwa jembe na mkewe.
Josephat Masinde kutoka kijiji cha nderema eneo bunge la navakholo anadai kuhangaishwa na mkewe mara kwa mara kwa sababu zisizoeleweka.
View Comments