Raila,Oparanya na Joho

Magavana ishirini na wawili ambao muhula utaisha 2022 katika katiba wameanza shauri watakavyo ishi ama watakavyo jikimu kimaisha. Linalo mwanzo lina mwisho wake hawakukosea walivyosema.

Wakuu kata pili mrefu waliotumika katika utegaji wa nguvu, tahadhari na bajeti kubwa, wameanza kuchunguza chaguzi ambalo litakalo waeka katika mstari wa kwanza.

Wachache wanamzaa katika kuwania kiti cha urais ama kuwania majina makubwa, kuna wale wanapanga kustaafu ilhali kuna wale wana matumaini ya kupata uteuzi katika hali.

Magavana Wycliffe Oparanya (Kakamega), Hassan Joho (Mombasa), Amason Kingi (Kilifi), Alfred Mutua (Machakos) na Kivutha Kibwana (Makueni) walitangaza katika umma kuwa wana uwezo wa kugombea urais.

Oparanya aliliambia gazetti la Star kuwa ni muafaka katika nafasi ya juu ya kazi.

"Macho yangu yanalenga urais, mimi ni muafaka katika siasa za kitaifa," Alisema aliyekuwa ameteuliwa kama mwenyekiti wa magavana.

Oparanya anamtaka kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na kiongozi wa Ford Kenya Moses Wetangula kuunga mkono jitihada za ikulu yake.

"Siwezi kuwa nikiwasaidia watu kila wakati, ni wakati wao pia waweze kunisaidia, hawajaweza kuchukua kiti hiki wacha wanaiachie nafasi pia nami,"Alisema Oparanya.

Gavana wa Embu Martin Wambora aliye na maisha tisa ya kusimulia, aliliambia Gazetti la star kuwa miaka yake 15 katika siasa imetosha na kuwa wakati ambao ametumia katika siasa ni mzuri katika maisha yake,

Wambora aliingia katika siasa alipokuwa mbunge wa Runyenjes.

Joho ambaye anatambulika kama mfalme wa siasa maeneo ya pwani, alisema kuwa atawania kiti cha urais 2022.

"Kama singekuwa na tamaa ya siasa ,ninge staafu nikiwa na miaka, 50, ni vile tuu na wania kiti cha urais,"Joho alisema mwezi wa Novemba.

Hii ni baada ya naibu wa raid William Ruto kujipata katika changamoto ambapo viongozi wa maeneo ya Mt Kenya kusema uwazi kuwa hawatamuunga mkono.

Gavana wa Uasin Gishu Jackson Mandago kuwa miongoni mwa watakao hudumu katika muhula wao wa pili.

Walionyamaza kuhusu hatua yao itakayofuata ni wa kutoka katika chama cha ODM wakiongozwa na chifu wao Raila Odinga, mipango yake ya siasa imebaki kama haiko wazi.

Magavana watakao wania kiti cha urais wanapigana wao kwa wao huku wakitumia kifua na maneno makali kwa wengine, swali ni je kati ya magavana hao nani atakaye kuwa mshindi katika kinyang'anyiro hicho cha urais?

Licha ya hao wenyewe kupigana vita wao kwa wao.

View Comments