ghostnagidiasubuhi

Steve wa miaka 36, na bibi yake Beryl, 36, walitengana mwaka moja ijao, baada ya mvutano na hawajaweza kupatana.

Kisa na maana? Steve anasema ni sababu ya mpango wa kando.

Steve alisimulia kilichotendeka

nituu hi mabao ya mpango wa kando, na sio mimi ni yeye. mimi ni mtu mwaminifu, na 2011 ndio tulijuana na nilikuwa nafanya kazi Nairobi na yeye alikuwa Siaya. Tulielewana tuaowana, na nikambwambia apige transfer Nairobi, na akasema ni vigumu juu alikuwa na mtoto mwignine.

nilimpata na mtoto mmoja, na sikuwa na mapato mazuri na kuongelea hii mambo ya transfer ilikuwa ngumu. 

Beryl aliweza kushika simu na kukataa huku akisema ako kazini na hawezi kuongea na Gidi.

Lakini Gidi hakukufa moyo, na akapiga mara ya pili,

'My issue is I don't talk my issue over the radio, na huyo mwanaume awachane na mimi, sitaki mambo yake kabisa, aendele na maisha yake.'

Je Bwana Steve alikubali kwamba chenye alikuwa anataka Beryl, yani kumfuata Siaya waongee, Steve alishuku na kuonelea hawezi kumfuatilia na mbio na wazazi wake pia watulie.

'Naonelea ni kama bado kuna mambo mengine ananifichilia'.

Ikiwa Bi Beryle anamsikiza, Steve angependa asikie nini?

'Wenye wameonaana kwanza wanasameheana na kama akohuko kwao tuongee, turudiane, na tuendelee na maisha yetu vile tulikuwa tunafanya. Watot siwaoni na sijui vile naweza wasaidia.'

Je wanajambo ni ushauri gani ambapo unaweza patia Bwana Steve?

View Comments