Wafanyikazi wanne raia wa Uchina wa kampuni moja ya ujenzi wamekamatwa huko Lodwar kwa kumshambulia mhandisi mmoja wa Kenya aliyekosoa kazi yao . Rodgers Imasia  ambaye ni mkaguzi  wa barabara kutoka KENHA Alivamiwa na wachina hao kwa kutilia doa kazi yao  ya ujenzi wa sehemu ya barabara ya  Loichangamatak – Lodwar.
View Comments