21 May 2019 1 Min Read
Raia Wanne wa Uchina wakamatwa kwa kumshambulia mhandisi wa Kenha
by Yusuf Juma Habari
Wafanyikazi wanne raia wa Uchina wa kampuni moja ya ujenzi wamekamatwa huko Lodwar kwa kumshambulia mhandisi mmoja wa Kenya aliyekosoa kazi yao . Rodgers Imasia ambaye ni mkaguzi wa barabara kutoka KENHA Alivamiwa na wachina hao kwa kutilia doa kazi yao ya ujenzi wa sehemu ya barabara ya Loichangamatak – Lodwar.