- mbusii
- 3E96EAUmloJambo-Mbusii-696x435
- mbusihnaliondehplayful
- radiojambodj

Katika shoo ya Papa Na Mastaa, Mbusi alifunguka kuhusu anavyofanya kazi na deejay wake Uche Adi Rasta. Uche ni kati ya madeejay wanaofanya na mtangazaji huyu katika shoo ya Mbusi Na Lion TekeTeke katika kituo cha Redio Jambo kuanzia saa tisa hadi saa moja jioni.

Katika mahojiano hayo ambayo hufanyika kwa mastaa wanaofanya sanaa nchini, Mbusi alimwambia Uche asimame aonekane na watazamaji.

“Simama wakuone kijana mfupi round. Uche namchukulia kama small brother.” alisema Mbusii

Soma hapa:

Uche pia alielezea anavyomfahamu bosi wake na kusema kuwa ni mtangazaji ambaye inakuwa rahisi kufanya kazi naye huku akisimulia kuwa hawajahi kuwa katika matatizo katika kazi zao.

“Mbusi ni mtu ambaye mwenye heshima. Anakubali chochote unamwambia.” alisema Uche.

Mbusi alieleza jinsi yupo katika mstari wa kwanza kuunga mkono muziki wa hapa nchini ili kuwainua wasanii.

“Mbusi Na Lion TekeTeke supporting local content.”

Mbusi alionekana pia kuwakanya mabinti wanamitindo na kusema kuwa waende polepole katika kazi zao huku akisisitiza kuwa hawezi kuwabania katika mahusiano.

“Na hao unawaita watoto waambie waende polepole tafadhali.”

&t=28s

Soma hapa: