27 May 2019 1 Min Read
Uhuru afanya ziara ya kushtukiza katika depo - Embakasi
by Davis Ojiambo Habari
- uhuru and matianig at inland depot
- Uhuru na Jopo la kukabiliana na bidhaa ghushi
Rais Uhuru Kenyatta Jumatatu asubuhi alifanya ziara ya ghafla katika eneo la kuhifadhi shehena huko Embakasi ambapo shehena zilizonaswa zinahifadhiwa.
Aliandamana na waziri wa usalama Fred Matiang’i, Katibu wa Usalama Karanja Kibicho, DCI George Kinoti na wakuu wa jopo linaloshughulikia suala hilo.