- Raila Odinga with Joyce Laboso
- Raila Odinga with Joyce Laboso
- Raila Odinga with Joyce Laboso
- Raila Odinga with Joyce Laboso
- Raila Odinga with Joyce Laboso
- Raila Odinga with Joyce Laboso

Kiongozi wa ODM  Raila Odinga  amemtemebelea  gavana wa  Bomet  Joyce Laboso  hospitali huko London Uingereza .Odinga aliandamana na balozi wa Kenya nchini Uingereza Manoah Esipisu .

 Wawili hao walimtakia Laboso  afueni ya haraka  wakati wa ziara hiyo .Haijafahamika Laboso anaugua nini lakini amechukua likizo ya matibabu kutoka shughuli zake kama gavana .

Kirui  amepepezea chini ripoti  kwamba gavana Laboso hajakuwa akitekeleza majukumu yake kwa ajili ya maradhi akisema kwamba amekuwa Nairobi akiendelea na kazi zake .

“ Amekuwa kazini wakati wote huo  na hayo  ndio tuayoweza kusema .. chochote zaidi ya hapo sasa ni mambo ya kibinafasi ambayo hatuzwezi kufichua’.

View Comments