HgTk9kpTURBXy85OWQyMGVkZDg0ZjMyN2I2YjBiMzk5MWU3YzQ2ZjVjYi5qcGeSlQMAAM0CWM0BUZMFzQMUzQG8gaEwAQ

Staa aliyejawa na utata kutoka hapa nchini Willy Pozze sasa amechapisha picha na kipusa freshi kwenye mtandao wake maridhawa wa instagram. Katika chapisho hili la kizazi, Pozee anaonekana kwenye mapozi hatari na mrembo kutoka hapa nchini Verasidika.

Soma hapa:

Tazama Hapa:

https://www.instagram.com/p/By3JLWen0_o/

Kulikuwepo na habari zilizoteka mitandao kuwa huenda staa huyu amehama kufanya muziki wa kidunia ila hajaweza kutangaza rasmi. Mwenzake Bahati katika mahojiano amenukuliwa kuhakikisha anamuombea muimbaji Willy Paul.

"Nitamuombea sana. Ni ndugu yangu. Ni imani atarudi."  alisema Bahati.

Pata uhondo:

Ikumbukwe kuwa Vera ni mwanamitindo na mwanadada mjasiriamali. Katika posti hiyo, Pozze anawatakia mashabiki wake usiku mwema.

https://www.instagram.com/p/By2fSxoH2ia/

Kiki kama hizi za mapozi na wanamitindo zilikuwa naye staa Otile Brown kipindi anatoka kimapenzi na Vera. Huenda ikawa Willy Paul anapania kufanya kiki kama hizi?

Katika mahojiano na muimbaji wa muziki wa injili Hope Kid, staa huyu alikiri kuwa kiki zinasaidia kuukuza muziki sio ata nchini bali ata mataifa mengine

View Comments