Babake Diamond Platnumz kukiwasha Stejini Itungi Hotel
Babake staa na fundi wa muziki Afrika nzima Chibu Dangote atakuwa anadondosha burudani miongoni mwa mastaa wengine Tanzania katika hoteli ya Itungi usiku wa leo tarehe 21. Babake Mondi amekuwa kifua mbele kuzamia katika tasnia ya muziki baada ya kuona mwanawe akivuna makubwa katika muziki wa Bongofleva.
Soma hadithi tofauti hapa:
https://www.instagram.com/p/By8FynVg6dp/
Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz na ambaye ni mwanawe Mzee Abdul walipatana juzi kati katika studio ya Wasafi FM na kuonekana kuzima tofauti zao za awali. Abdul aliomba msamaha mwanawe kwa madai ya kuwatelekeza yeye na Bi. Sandra Sanura Kassim.
Soma hapa hadithi nyingine:
Tazama hapa:
Babu Tiffah pia ameweza kuzama studio na kudondosha ngoma kama Umeniteka ambayo inafanya vizuri katika mtandao wa kijamii.
Tazama hapa: