Jinsi wakenya walivyo wakandamiza watanzania baada ya ushindi wa Harambee Stars
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii haswaa Twitter waliwakandamiza majirani wao wa Tanzania baada ya Harambee Stars kuitandika Taifa Stars, mabao 3-2.
Kenya walitoka nyuma mara mbili na kuwapa Tanzania kipigo ambacho kiliwaacha chini ya kundi C na basi kuzima matumaini yao ya kufuzu katika raundi 16 bora.
Wakenya ambao kabla ya mechi hii walikuwa tayari wamewapa maneno majirano wao, hawakuchelewa pindi tu Michael Olunga alifunga bao la tatu na la ushindi, kwani walitumia kila namna, kila picha na video kuwashambulia mtandaoni.
Huku wakishambulia nyimbo zao za Bongo, wengine waliwakumbusha kuwa hakuna siku ambayo watashinda michuano yoyote dhidi yetu.
Ifuatayo ni mifano ya mashambulizi ambayo watanzania walipokea.
Michael Olunga has currently scored more goals in the than Mo Salah.
Don't argue with facts!
π°πͺ π°πͺ π°πͺ
β Idah Waringa (@IdahWaringa)
So magufuli thought he could beat meπ
β Heaven materialπ°πͺ (@BornfesKangor)
Kenyans showing Tanzanians, Road to Cairo International Airport βοΈβοΈ Olunga
β George Waweru π§πΎ (@MkulimaMdogo)
only one man can save tanzania right now
β Verified (@njiiru)
How one Harambee Stars fan covered each goal with lyrics
β Dennis Itumbi, HSC (@OleItumbi)
Harambee Stars Wamefunika π°πͺπ°πͺ
β Gabuh254 (@Gabuh_254)
A country whose anthem sounds like an SDA choir chorus cannot beat usπ
β Hon. Enoch Cheruiyot. (@enochcheruiyot1)
Good morning Tanzania, I think it would be better for you to just stick to Bongo for now. Seems your luck ain't in football at the moment. Halafu Msijali, next time ntatweet na Kiswahiliπ
β Dennis Kiplimo π°πͺπ°πͺ (@ItsShark15)
I think second half we played in English they did not understand us ππ
β BallsyKenyaπ°πͺ (@ballsy254)