ADUMA
Mbunge wa Nyakach  Aduma Owuor  Amekamatwa na maafisa wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC  katika eneo la Kondele ,Kisumu kuhusu malipo yasiofaa ya shilingi  milioni 68  kwa kampuni moja ya sheria  yaliyotolewa na serikali ya kaunti ya Nairobi . Maelezo zaidi  kufuatia ..
View Comments