10 August 2019 1 Min Read
Here to Stay: Wanafunzi kusalia nyumbani kwa muda baada ya tarehe ya kufungua shule kubadilishwa
by Geoffrey Mbuthia Habari
Wizara ya elimu imeahirisha kufunguliwa kwa shule zote kwa muhuma wa tatu kwa wiki moja .
Arifa iliyotumwa na wizara ya elimu kwa wadau wote wa sekta hiyo imeonyesha kwamba shule sasa zitafunguliwa tarehe mbili septmba na kufungwa Oktoba tarehe 25 mwaka huu .
kulingana na wizara hiyo hatua hiyo imechukuliwa ili kufanikisha zoezi la sensa kwani tarehe za zoezi hilo za 24 hadi 25 agosti zilikuwa zikikinzana na tarehe ya kufunguliwa kwa shule .