Lavalava

Staa wa bongo Lavalava anaonekana kuwa anatengenezwa kuja kuijaza pengo lililoachwa na Harmonize.  Harmonize kwa sasa sio msanii wa WCB na ameanzisha kundi la Konde Gang ambao taarifa zipo kwamba atasaini mastaa wakubwa Tanzania. Ukubwa wake Harmonize unamfanya kutofanya chini ya Wasafi.

Pata hadithi hapa:

Huenda kuna baadhi ya vijisehemu katika mkataba vinavyombana kufanya kazi za nje na kutanua kama mzazi wake katika tasnia hii Diamond Platnumz. Lavalava anazidi kufanya mauzo mazuri na mkaju wa Saula aliomshirikisha Harmonize.

Stima za ushikaji zinaonekana kuzima ghafla kati ya Harmonize na dogo zake waliokuwa katika lebo moja. Hii ilidhihirika jana baada ya Harmonize ambaye aliwasilisha barua ya kutoka usafini na kuonekana na mikakati ya kuanzisha lebo yake ya Konde Gang.

Pata hadithi hapa:

Sifa Salam anazomlimbikizia Lavalava katika mahojiano ni ishara kubwa sasa WCB inapania kumfanya mkubwa ili aje kujaza nafasi hiyo. Staa huyu amezamia insta kuonyesha baraka alizobarikiwa kwa gari ya kifahari.

https://www.instagram.com/p/B13K3x5g_ve/

View Comments