Man City, Rio Ferdinand na wanasiasa wampongeza Eliud KIpchoge
Dunia nzima sasa inamzungumzia bingwa na mwanariadha hodari zaidi kuwahi shuhudiwa duniani, Eliud Kipchoge.
Hii ni baada ya mwanriadha huyo kuandikisha historia kama binadamu wa kwanza duniani kukimbia na kumaliza mbio za nyika chini ya masaa mawili.
Kipchoge alimaliza mbio hizo baada ya lisa moja, dakika 59 na sekunde 40 pekee. 1:59:40.
Mbio hizo maalum zijulikanazo kama Ineos1:59 challenge zilifanyika Vienna, Austria kuanzia mida ya 9:15 Jumamosi asubuhi na Kipchoge alisindikizwa na zaidi ya waweka kasi 20.
Boniface Mwangi alisema,
Issa a plan. We should line up the entire road from the airport to Nairobi CBD to welcome #eliudkipchoge. Receive him like the HERO he is.
https://twitter.com/ManCity/status/1182938658472681472
https://twitter.com/YayaToure/status/1182947123807084545
https://twitter.com/MotoGP/status/1182940526481248257
https://twitter.com/rioferdy5/status/1182936683739860992
https://twitter.com/CarolineMutoko/status/1182936158667530240
https://twitter.com/RailaOdinga/status/1182932753207169026
https://twitter.com/MarthaKarua/status/1182933508739817472
https://twitter.com/SpursOfficial/status/1182956088779591682