eliud

Dunia nzima sasa inamzungumzia bingwa na mwanariadha hodari zaidi kuwahi shuhudiwa duniani, Eliud Kipchoge.

Hii ni baada ya mwanriadha huyo kuandikisha historia kama binadamu wa kwanza duniani kukimbia na kumaliza mbio za nyika chini ya masaa mawili.

Kipchoge alimaliza mbio hizo baada ya lisa moja, dakika 59 na sekunde 40 pekee. 1:59:40.

Mbio hizo maalum zijulikanazo kama Ineos1:59 challenge zilifanyika Vienna, Austria kuanzia mida ya 9:15  Jumamosi asubuhi na Kipchoge alisindikizwa na zaidi ya waweka kasi 20.

 Miongoni mwa waliompongeza kwa juhudi hizo za kufana ni wakenya kutoka tabaka mbali mbali, wanasiasa, timu za kadanda za uingereza zikiwemo, Tottenham Hotspurs na Man City na wanasoka wa zamani; Rio Ferdinand na Yaya Toure ambao wamewahi tembelea nchi ya Kenya.
Tumeorodhesha baadhi ya timu na watu mashuhuri ambao wamempongeza Kipchoge.

Boniface Mwangi alisema,

Issa a plan. We should line up the entire road from the airport to Nairobi CBD to welcome #eliudkipchoge. Receive him like the HERO he is.

https://twitter.com/ManCity/status/1182938658472681472

https://twitter.com/YayaToure/status/1182947123807084545

https://twitter.com/MotoGP/status/1182940526481248257

https://twitter.com/rioferdy5/status/1182936683739860992

https://twitter.com/CarolineMutoko/status/1182936158667530240

https://twitter.com/RailaOdinga/status/1182932753207169026

https://twitter.com/MarthaKarua/status/1182933508739817472

https://twitter.com/SpursOfficial/status/1182956088779591682