kipchoge

Eliud Kipchoge na Dalilah Muhammad wametajwa kuwa wanariadha bora zaidi duniani wa kiume na kike mtawalia.

Kipchoge alishinda London Marathon kwa mara ya nne mwezi Aprili kabla ya kuwa mtu wa kwanza kukimbia marathon kwa chini ya masaa mawili mwezi Oktoba.

Muhammad naye alishinda mbio za mita 400 za ubingwa wa dunia kuruka viunzi huko Doha akiwa amevunja rekodi ya dunia mara mbili mwaka huu.

Kipchoge alisema kuwa ana furaha kupewa tuzo hilo kwa mara ya pili sasa.

Alisema,