Waziri wa fedha wa Afrika Kusini Tito Mboweni ametoa wito kwa serikali ya nchi hiyo kuhalaliisha biashara ya bangi ili kuongeza ukusanyaji ushuru.

Alitoa pebdekezo hilo katika Twitter yake na kuongeza kuwa atawasilisha wazo hilo katika kikao cha baraza la mawaziri

Pia liweka picha inayoonesha mmea huo unavyokuwa: