- coaches
- logarusic (1)

Je wajua tangia kuanzishwa kwake mwaka wa 1968, klabu ya kadanda Gor Mahia imekuwa na zaidi ya mameneja 15 kutoka nje ya Kenya?

Kogalo ambao ni miongoni mwa timu kuu zaidi bara Afrika, wameshinda kombe la ligi kuu KPL mara 18 na mameneja hao wamechangia pakubwa kwa ufanisi huo.

Tunakuorodheshea mameneja hao wakiwemo meneja wa sasa Steve Polack kutoka Uingereza na  Zdravko Logarusic kuroka Croatia.

https://radiojambo.co.ke/gor-mahia-imetozwa-faini-kutokana-na-tabia-ya-mashabiki-wake/

View Comments