Finally:Shule ya Kakamega Yatoa majina ya wanafunzi walioaga dunia katika mkasa.
Shule ya msingi ya kakamega hatimaye imetoa majina ya wanafunzi 14 walioafariki katika tukio la mkanyagano shuleni humo siku ya jumatatu . Mmoja wa waathiriwa hao mwanafunzi wa gredi ya nne Naila Kiverenge – anazikwa jumatano alasiri . Matayarisho ya maazishi yaw engine yanaendelea baada ya kuundwa kwa kundi lililoundwa na gavana wa kakamega Wycliffe Oparanya .
Waathiriwa wengine wa 13 wa kisa hicho wanatarajiwa kuzikwa wiki ijayo. Serikali kuu na ya kaunti zimeahidi kuzisaidia familia za waathiriwa . huduma za ushauri zinatolewa kwa familia hizo na wanafunzi walionusurika mkasa huo . shule hiyo hata hivyo imefungwa baada ya tukio hilo ambalo limeishangaza nchi . Orodha kamili ya waathiriwa wote ambao mmili yao ilitambuliwa na jamaa zao katika Hifadhi ya maiti ya hospitali ya rufaa ya Kakamega ni hii
- Antonnet Iramwenya – 5V
2. Prudence Eliza – 5V
3. Catherine Aloo – 5W
4. Naila Kiverenge – 4G
5. Prince Vermaline – 4G
6. Nichole Achola – 5P
7. Venessa Adesa – 5P
8. Fidel Kumbetie – 5P
9. Simon Waweru – 4G
10. Samuel Simekha – 5V
11. Lavenda Akasa – 5P
12. June Nakhumicha – 4G
13. Joseph Musami – 5B
14. Bertha Munywele – 5Y