12 February 2020 1 Min Read
Toka Hapa! Mike Sonko afurushwa jukwaani Kabarak wakati wa mazishi ya Mzee Moi
by Yusuf Juma Habari
Gavana wa Nairobi Mike Sonko amefurushwa kutoka jukwaa kuu huko Kabaraka wakati maazishi ya rais Mstaafu Daniel Moi yalipokuwa yakiendelea . Maafisa wa usalama walimzuia Sonko kwenda katika sehemu ambayo viongozi wengine walikuwa wamekaaa .
Haijabainika mbona gavana huyo wa Nairobi alizuiwa kuingia katika jukwa kuu .Alionekana amesimama pembeni kwa dakika kadhaa .Afisa moja alionekana akimueleza mbona hakuakiwa kufika katika eneo alilotaka kuketi . Sonko baadaye aliruhusiwa kuhudhuria hafla hiyo lakini akaketi na wakaazi .