sonko ejected (1)

Gavana wa Nairobi Mike Sonko  amefurushwa kutoka jukwaa kuu huko Kabaraka wakati maazishi ya rais Mstaafu Daniel Moi  yalipokuwa yakiendelea . Maafisa wa usalama  walimzuia Sonko kwenda katika  sehemu ambayo viongozi wengine walikuwa wamekaaa .

Haijabainika mbona gavana huyo wa Nairobi alizuiwa kuingia katika jukwa kuu .Alionekana amesimama pembeni kwa dakika kadhaa .Afisa moja alionekana akimueleza mbona hakuakiwa kufika katika eneo alilotaka kuketi . Sonko baadaye aliruhusiwa kuhudhuria hafla hiyo lakini akaketi na wakaazi .

View Comments