- 87239243_205660040811783_8432687701054458584_n
- 72338646_155956415751678_380061378898285863_n
- 84530292_102310574647581_7842152544026911447_n
- 87481663_1093027367707699_8646776254246015923_n(1)
- 71117318_155891529095518_2671088277841469593_n

Katika sekta ya usanii tupo na wanawake ambao waliumbwa wakaumbika licha ya hao kuwa wazazi wa mtoto mmoja au wawili.

Kando na changamoto ambazo wanazipitia kuwalea wanao ,wamejikakamua kadri ya uwezo wao kusukuma gurudumu hilo la kuwa wazazi katika maisha yao.

Hapa tumekupa baadhi ya wanawake hao.

Lilian Muli

Mwanahabari huyu amebarikiwa na watoto , amekuwa akipendeza sana katika mtandao wa kijamii kutukana na umbo lake la kupendeza.

Pierra Makena

Ni DJ ambaye amewatumbuiza wengi na kuwa furahisha wengi kwa kazi yake nzuri. mbali na kazi yake amelea mwanawe kwa njia nzuri sana.

Grace Msalame

Kwa hakika huwezi fahamu kuwa Grace ana wasichana mapacha wenye sura nzuri, wamekuwa kwa haraka baba wa watoto wake ni pacha wa mumewe mtangazaji Janet Mbugua.

Brenda wairimu

Ni muigizaji ambaye hana mengi ua kuzungumziwa,kando na taaluma hiyo yake ,amekuwa mzazi bora kwa mwanawe wa kike kutoka utotoni.

Terryanne Chebet

Alifahamika sana sura yake ilipoonekana katika runinga ya Citizen, mbali na kazi yake amebarikiwa na mschina mrembo kama yeye mwenyewe

Caroline Mutoko

Alimchukuwa mwanawe akiwa na miezi nane, wanafanana sana Mutoko amejikakamua sana kwa kumlea mtoto wake na kumpa maisha ya kifahari.

View Comments