Mzozo baina ya Diamond na Tanasha uliibuka pale alipokosa kuhudhuria uzinduzi wa albamu ya Tanasha aliyokuwa anaifanya Nairobi mapema mwezi jana mwaka huu.

Katika uzinduzi huo Diamond aliripotiwa kurejea Tanzania kwa kile kilisemekana kuwa ni kushughulikia shughuli ya dharura iliyokuwa imetokea.