- akothe 1
- akothe 2
- akothe 3

Sarakasi na  ucheshi wa Akothe hautwahi kuisha  hivi karibuni na sasa ameamua kuanza kutengeza njia ya kwenda Mbungini mapema kwa kumuomba mola msamaha mapema kwa ‘dhambi’ zake .

Jumapili msanii huyo aliwachekesha wengi mtandaoni kwa  sala yake kwa mola akiandika ;

 “Lord ! on this Sabbath day, if it’s my twerking and arrogance that has made you Angry or some other sins that I might have assumed, please find a place in your Kingdom to receive me, just as I am your Child. Please Lord delete their memories so they stop reminding me whatever I did in 1900, and walk me through the New pathway   AMEN  ” 

Posti yake ilipokelewa vyema na mashabiki wake huku wengi wakipata tabasmu kutoka kwayo licha ya changamoto ya sasa ya kupambana na janga la virusi vya Corona .

Wiki jana  yeye na Eric Omondi  walifanya utani kuhusu kupata mtoto pamoja . lakini Akothe akasema ni mapena sana kwa wao wawili kupata mtoto .

View Comments