- Babu Owino 1
- babu 2
- babu 3
- babu 4

Mbunge wa Embakasi mashariki Babu Owino  ni mtu ambye hakwepi sakata nan i mzushi kama kirusi .

Mbunge huyo alijipata mashakani kwa kumpiga risasi na kumjeruhi DJ Evolve  Miezi michache iliyopita  katika eneo la burudani la B Club  na hadi wakati huu DJ huyo yungali amepoozwa kuanzia shingoni kurudi chini . Kumekuwa na wasi wasi kuhusu bili yake ya hospitali ambayo imeendelea kuongezeka na awali Babu alikuwa ameahidi kugharamia matibbau ya DJ Evolve .

Licha ya kuwa kwa sasa tunakabilianana janga la  virusi vya Corona ,kuna wakenya ambao hawajasahau alichofanya Babu na  kuja jamaa aliyejawa ujasiri na kuamua kumuuliza mbunge huyo swali hili – Mwanamme uliyejaribu kumuua yupo katika hali gani ?

Wengi walimtaraji Babu kutoka kwa makucha na kumpa  pilipili jamaa huyo lakini mheshimiwa kwa upole alijibu  @ndungokimanthi He’s healed in Jesus name,”

Majibizano hayo yalijiri muda mfupi baada ya  Babu kutuma taarifa akisema anaunga mkono  mikakati ya serikali kupambana na  usambaaji wa virusi vya Corona .

View Comments