81398355_2679758918816566_8887379754524635756_n

NA NICKSON TOSI

Wakati Tanasha Donna na Diamond uhusiano wao ulikuwa umechacha, mwanadada huyo alikuwa amenunuliwa kasri la mabilioni zaidi ya Ikulu ya rais wa Tanzania na mpenziwe huyo wa kitambo.

Hapa nimekuandalia namna Tanasha alivokaribishwa kwa nyumba hiyo na mamake Diamond.

Tazama na utupe maoni yako