- 43608726_1210571985775757_7600125766222741504_n
- 31210914_188371428468740_8352380328815362048_n
- 44446164_1688519234585477_6169064198161563648_n

NA NICKSON TOSI

Mishi Dorah alijenga jina lake baada ya kujumuisha katika kipindi cha Nairobi Diaries ambacho kilikuwa kinaangazia maswala ya ufisadi na uongozi nchini.

Mishi labda hana umaarufu kwa sasa lakini hakosi kutoa ushauri pale anapohisi anahitaji kuwashauri watu au kutoa wosia wake.

Katika kitengo cha kuulizwa maswali na kujibu na mashabiki wake kwenye instagram,Mishi aliulizwa na shabiki mmoja iwapo anatumia dawa za kufanya kisima chake cha asali [nunu] kuwa kubwa na kuvutia wateja.

Kama njia ya kujibu swali hilo ,Mishi alikana na kusema yeye huwa hatumii dawa hizo kamwe na hata kutoa ushauri kwa wale waliobarikiwa kisima cha asali kikubwa.

La hasha ,situmii mimi japo kama nunu yako ni kubwa basi nakushauri uanze kufanya mazoezi na wachana na nunu pills zitakuumiza bure.Aliandika Mishi Dorah.

Hapa ni maoni ya wakenya

becky_vixen_254ย โ€œEti nunu pillsโ€ฆ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ cheiii yaani Kuna mtu haogopi side effects๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ I โ€

salim_the_don_ย โ€˜Mademu Mitaro๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™„โ€

gracious6697ย โ€œ๐Ÿ˜‚lakini Nini husumbua wakenya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚โ€

View Comments